Habari

news image

TFNC yapongezwa kwa maandalizi ya wiki ya unyonyeshaji duniani

Imewekwa: 4th Apr, 2019

Kamati ya kitaifa ya lishe ya wajawazito, watoto wachanga, watoto wadogo na vijana balehe imeipongeza Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kuanza mapema maandalizi ya maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani kwa mwaka 2019....Soma zaidi

news image

Dodoma na Singida kupambana na utapiamlo kwa kutumia virutubishi mchanganyiko

Imewekwa: 3rd Apr, 2019

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Sikitu Simon amesema kwamba Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kupitia mradi wa Boresha Lishe...Soma zaidi

news image

Watoa huduma katika vituo vya afya Dodoma wapatiwa mafunzo ya mkoba wa siku 1000

Imewekwa: 5th Mar, 2019

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupitia ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la Madaktari Pamoja na Afrika (CUAMM) imetoa mafunzo ya mkoba wa siku 1000 kwa watoa huduma wa ngazi ya vituo vya afya mkoani Dodoma....Soma zaidi

news image

Dkt. Vincent aagiza elimu ya ulaji unaofaa kuwafikia wananchi

Imewekwa: 28th Feb, 2019

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dkt. Assey Vincent ameiagiza kamati ya kitaifa ya kuzuia na kudhibiti magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza yanayohusiana na ulaji usiofaa kuendelea kutoa elimu ...Soma zaidi