Dhamira,Dira na Maadili

Dira: Kuwa Kituo cha ubora cha kutoa uongozi wa kimkakati katika mapambano dhidi ya aina zote za utapiamlo nchini.

Dhamira: Kuratibu, kuongoza na kuchochea utekelezaji wa afua madhubuti za lishe kwa lengo la kuzuia na kudhibiti matatizo ya utapiamlo nchini Tanzania.

Maadili ya msingi:

  • Uwajibikaji
  • Ushirikishwaji
  • Heshima
  • Usawa
  • Uadilifu
  • Utaalamu
  • Uwazi
  • Ufanisi