Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.Angellah Kairuki akimsikiliza Bw. Idd Omary, akisoma ujumbe wa lishe kwa watu wasiiona kupitia kitabu cha maandishi ya nukta nundu kilichoandaliwa na TFNC kupitia ufadhili wa WFP, alipotembelea banda la Taasisi leo Agosti 29, 2023 kabla ya kufungua Mkutano wa Tathmini ya saba ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe, uliofanyika Mtumba Jijini Dodoma