Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Abela Twinomujuni akiwasilisha mada kuhusu uhusiano wa Lishe, UKIMWI na TB wakati wa mafunzo ya tathimini ya lishe, unasihi na huduma za lishe kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na TB yanayotolewa na TFNC kwa watoa huduma za afya, maafisa usawi na maaendelo ya jamii katika ukumbi wa TFNC jijini Dar es Salaam