• English
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi
  • Zabuni na Ajira
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania

Kuwa Kituo cha umahiri kinachotoa uongozi wa kimkakati katika lishe kwa wateja wetu na washirika, ndani na nje ya nchi
  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia fupi
    • Dira, Dhamira na Maadili
    • Tunafanya Nini
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Sheria
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Usimamizi
    • Uongozi wa Taasisi
    • Wadau Wetu
      • Wizara
      • Taasisi za Serikali/Sekta Binafsi
      • Mashirika ya Ndani/Kimataifa
      • Mashirika ya Umoja wa Kimataifa
      • Taasisi za Elimu/Utafiti na Maendeleo
  • Idara/Vitengo
    • Fedha, Utumishi na Utawala
    • Usimamizi wa Ununuzi
    • Sayansi ya Chakula na Lishe
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Sera na Mipango ya Lishe
    • Huduma ya Kisheria
    • Afya na Lishe ya Jamii
    • Elimu na Mafunzo ya Lishe
    • Ukaguzi wa Ndani
  • Machapisho
    • Call for Abstracts
    • Nutrition Cockpit
      • Catalyst Team
      • Resource Materials
      • NMNAP II
    • Ripoti za Ukaguzi
    • Research Agendas
    • NMNAP II
    • Sera na Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Machapisho ya Utafiti
    • Ripoti
    • Webinars Conference Presentations
    • Vipeperushi na vitabu
    • Jarida
    • Nyenzo na Zana
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Ujumbe wa sauti
    • Mashairi
  • Online Systems
    • MNIS System
  • Mkutano wa Wadau wa Lishe 2025
...

Tanzania inaungana na nchi nyingine Duniani kuadhimisha Wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama Duniani, Wiki ambayo huadhimishwa kuanzia Agosti 1-7 ambapo kwa mwaka huu maadhimisho haya yanabebwa na kauli mbiu isemayo “Thamini Unyonyeshaji: Weka Mazingira Wezeshi kwa Mama na Mtoto.

...

.

...

.

...

Mratibu wa programu ya kuzuia upungufu wa madini joto Bi Rose Msaki wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) akiwasilisha taarifa ya Utafiti unaolenga kuangalia mfumo wa Sekta ya Afya kupima kiwango cha madini joto katika chumvi na mkojo, wakati Mkutano wa 39 wa Jukwaa la Wadau wa Uongezaji Virutubishi kwenye Vyakula nchini Tanzania (TFFA), unaofanyika Jijini Arusha.

...

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya, Dkt. Otilia Gowele akiwasilisha salamu za Wizara ya Afya katika Mkutano wa 39 wa Jukwaa la Wadau wa Uongezaji Virutubishi kwenye Vyakula nchini Tanzania (TFFA), unaofanyika kwa muda siku mbili jijini Arusha ukiwakutanisha wadau mbalimbali wanaojihusisha na masuala ya urutubishaji wa vyakula wakiwemo kutoka Wizarani, Taasisi za Serikali, Vyuo Vikuu, Mashirika ya Maendeleo pamoja na wadau wengine.

...

Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC), Dkt. Ntuli Kapologwe, amewataka wadau kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuimarisha hali ya lishe nchini.Dkt. Kapologwe ametoa rai hiyo wakati akifungua mkutano wa 39 wa Jukwaa la Wadau wa Uongezaji Virutubushi kwenye Vyakula Tanzania (TFFA) unaofanyika jijini Arusha.

Previous Next
  • Dkt.Germana Henry Leyna
  • Mkurugenzi Mtendaji
  • Wasifu
  • Karibu

Habari

  • news image Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na U... Aug 02,2025
  • news image Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya nchi za Afri... Jul 25,2025
  • news image Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chak... Jun 29,2025
  • news image Katika kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika... Jun 25,2025
  • Soma Habari zaidi

Matukio

  • Oct 2024

    JMNR 2024

    Mkutano mkuu wa kumi wa wad...

  • Nov 2021

    JMNR 2021

    Mkutano mkuu wa saba wa wad...

  • Aug 2021

    Maadhimisho ya...

    Ujumbe wa leo kuelekea Maad...

  • Sep 2020

    Mdahalo kuhusu...

    Mdahalo kuhusu unyonyeshaji...

  • Matukio Zaidi

Nifanyaje?

  • Are Anti-Nutrients Harmful?
  • Wiki ya Unyonyeshaji wa Duniani
  • Kupata elimu na mafunzo kuhusu afya na lishe
  • Angalia Zaidi

Matangazo

  • LISHE MARATHON
    Saturday 2nd Aug , 2025
  • JMNR Conference 2025
    Saturday 2nd Aug , 2025
  • UPCOMING COURSE: MAFUNZO YA USINDIKAJI UNGA MCHANGANYIKO KWA MATUMIZI YA WATOTO WENYE UMRI WA MIEZI 6 – 23
    Tuesday 22nd Jul , 2025
  • Upcoming Course: Huduma bora za afya na lishe ya mama mjamzito,mama anayenyonyesha,mtoto mchanga na mdogo kwa watoa huduma za afya
    Monday 14th Jul , 2025
  • Matangazo Zaidi
Tanzania Census 2022

Tovuti Mashuhuri

  • Global Nutrition Report
  • IAEA
  • Wizara ya Afya
  • Chuo Kikuu cha MUHAS
  • Chuo Kikuu cha Sokoine
  • Angalia Zaidi

Staffs Information

  • e-Mrejesho
  • e-Office
  • Fomu
  • e-Travelling Permit
  • Salary Slip Portal

Hesabu ya Wageni

Wageni Kutoka
  • Leo : 0
  • Jana : 0
  • Wiki Hii : 0
  • Mwezi Huu : 0
  • Jumla : 0

Wasiliana Nasi

  • Mkurugenzi Mtendaji
    Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania,
    22 Barabara ya Barack Obama.
    S.L.P 977,
    Dar es salaam,Tanzania
    Kwa Ofisi za Serikali pekee : barua@tfnc.go.tz

    Tumia malalamiko@tfnc.go.tz kututumia barua pepe zenye malalamiko au maoni

  • Telephone: +255 734275369, +255 22 2118137
  • Nukushi: +255 22 2116713
  • Barua pepe: info@tfnc.go.tz
  • Tovuti: www.tfnc.go.tz

Video

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Taarifa ya hakimiliki
  • Angalizo

Haki zote zimehifadhiwa. © TFNC.
Imetengenezwa na Imesaninfiwa na Wakala Ya Serikali Mtandao. na Inaendeshwa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania