Jukwaa la Lishe Tanzania (PANITA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) wamendesha semina ya siku moja kwa waandishi wa habari nchini inayolenga kuongeza uelewa wao juu ya mambo mbalimbali ya lishe ikiwemo michakato ya “Nutritionfor Growth”, hali ya lishe nchini, mipango ya sasa ya Serikali, na jukumu la vyombo vya habari katika kuboresha lishe na kuongeza uelewa wa umma juu ya masuala ya lishe.