• MMM
  • Baruapepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Mrejesho
  • Zabuni & Ajira
  • EN
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania

TFNC Logo
MENU
  • Home
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni Nani
    • Tunafanya Nini
    • Sheria na Kanuni
    • Dhamira,Dira na Maadili
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Wadau
      • Taasisi za Serikali
    • Researchers Profile
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Usimamizi
    • Uongozi wa Taasisi
  • Machapisho
    • Sera na Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti za Ukaguzi
    • Ajenda za Utafiti
    • Mpango wa Taifa wa Lishe
    • Machapisho ya Utafiti
    • Ripoti
    • Lishe Journal
    • Jarida
    • Wasilisho la Kongamano
    • Vipeperushi na Vitabu
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Makala
...

Wafanyakazi wa Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamepatiwa mafunzo ya kanuni bora za ufanyaji Kazi kwenye maabara yaani GLP na GCLP, ikiwa ni sehemu ya kuboresha usimamizi, ubora na usalama katika Maabara ya Chakula na Lishe iliyopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yametolewa na mwezeshaji Prof. Reginad Kavishe kutoka KCMC University na yamefanyika mkoani Morogoro katika Chuo cha Kilimo cha Sokoine.

...

Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Abela Twinomujuni akiwasilisha mada kuhusu uhusiano wa Lishe, UKIMWI na TB wakati wa mafunzo ya tathimini ya lishe, unasihi na huduma za lishe kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na TB yanayotolewa na TFNC kwa watoa huduma za afya, maafisa usawi na maaendelo ya jamii katika ukumbi wa TFNC jijini Dar es Salaam

...

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya tathimini ya lishe, unasihi na huduma za lishe kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na TB wakifanya jaribio la awali kwa ajili ya kupima uelewa wao kabla ya kuanza mafunzo hayo. Mafunzo haya yanatolewa kwa siku nne (25 - 28, Novemba, 2025) na TFNC kwa watoa huduma za afya, maafisa usawi na maaendelo ya jamii ili kuwaongezea ufanisi katika majukumu yao ya kila siku.

Mr.DG
Dr. Germana Leyna
Mkurugenzi Mtendaji
Biography

Matukio

news
LISHE MARATHON
20 Sep, 2025
news
CLICK HERE FOR REGISTRATION AND PAYMENT Steps to Register: Click here to Download  ...
17 Sep, 2025
View All Events

Matangazo

Mafunzo ya Uandaaji Bora wa Chakula kwa Watoa Huduma ya Chak...
01 Nov, 2021
View All Announcements

Habari Mpya

omage

Zoezi la utafiti kuhusu unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha na nafaka nyingine

22 Jan, 2026
omage

Zoezi la ku kuhakiki ufanisi wa unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha

22 Jan, 2026
omage

Kikao kuhusu masuala ya lishe na Mhe. Dkt. Rajabu Rutengwa, Mkuu wa Mkoa Mstaafu

16 Dec, 2025
View All News

Kurasa za Karibu

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WADAU WA LISHE NCHINI UTAKAOFANYIKA TAREHE 29 – 30 NOVEMBA, 2022 – MKOANI MARA
MUHAS

Huduma Zetu

service-logo
ELIMU KWA UMMA
Taasisi ya Chakula na Lishe Ta...
service-logo
Utafiti
TFNC inatoa huduma na kushirik...
service-logo
HUDUMA ZA MAABARA
TFNC inamaabara ya kisasa yeny...
Wasiliana Nasi

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania

22 Barabara ya Barack Obama, S.LP 977, 11101 Dar es Salaam, Tanzania

Email: info@tfnc.go.tz

Tel: +255 (22) 2118187/9.

Kurasa za Karibu
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WADAU WA LISHE NCHINI UTAKAOFANYIKA TAREHE 29 – 30 NOVEMBA, 2022 – MKOANI MARA
MUHAS
Tovuti Mashuhuri
Wizara ya Afya
Ofisi ya Waziri Mkuu
Ofisi ya Rais-TAMISEMI
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Huduma Mtandao
ELIMU KWA UMMA
Utafiti
HUDUMA ZA MAABARA
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
Imesanifiwa na Imetengenezwa na e-GA Huendeshwa na TFNC
© Copyright 2026, Haki zote zimehifadhiwa.