Mkurugenzi Idara ya Elimu na Mafunzo, Taasisi ya Chakula na LisheTanzania(TFNC), Dkt. Esther Nkuba akifanya mahojiano na watangazaji wa TBC One kipindi cha jambo kuelezea umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji tarehe 07 Agosti, 2025; Lengo ni kuhamasisha jamii kushiriki ipasavyo katika kufanikisha unyonyeshaji wa maziwa ya mama ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema "Thamini Unyonyeshaji; weka mazingira wezeshi kwa mama na mtoro"