KIKAO CHA MAANDALIZI YA RIPOTI.
Maafisa watafiti wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania wakiwa katika kikao kazi cha mafunzo na maandalizi ya ripoti ya hali ya upungufu wa virutubishi kwa akina mama na watoto chini ya miaka mitano, ripoti ambayo ni sehemu ya utafiti wa kitaifa wa afya ya uzazi , mamana mtoto ya mwaka 2022 (TDHS 2022)