Mafunzo hayo ya siku nne yameandaliwa na Jukwaa la Wadau wa Uongezaji Virutubishi kwenye vyakula nchini (The Tanzania Food Fortification Alliance) (TFFA), Wizara ya Viwanda na Biashara , Wizara ya Afya ,Taasisi ya Food Fortification Initiative (FFI) , Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania chini ya uwezeshaji kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF).