Habari
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1718181711-FBDG3.jpg)
Elimu ya lishe inaendelea kutolewa
Imewekwa: 12th Jun, 2024Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi.Maria Ngilisho, akiendelea kutoa elimu ya Lishe kwa wakazi waliokuwa wakielekea Mbagala...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1718181410-USAID.jpg)
Wadau wa lishe wahimizwa kuendelea kuisaidia serikali kwenye tafiti za lishe
Imewekwa: 12th Jun, 2024Wadau na wafadhili wa shughuli za lishe nchini, wameshauriwa kujitokeza na kuisaidia Serikali rasilimali fedha, na...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1717917176-BRIGHT2.jpg)
Chuo kikuu cha TSING HUAN na TFNC zaungana kukabiliana na tatizo la upungufu wa damu kwa vijana balehe
Imewekwa: 9th Jun, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Tsing Huan cha nchini China, wapo katika utekelezaji wa mradi wa majaribio wa utengenezaji asusa zilizoongezwa madini na Vitamini (Zinki, Magneziamu, Vitamini A n.k)...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1717916522-FBDG1.jpg)
Ukiliona kituoni usisite kupanda
Imewekwa: 9th Jun, 2024Mkazi wa Dar es Salaam, Mbeya na Unguja Zanzibar, Ukikutana na Daladala hii kwenye kituo chako usisite kulipanda,...Soma zaidi