Habari

Maadhimisho ya wiki ya unyenyeshaji duniani 2025
Imewekwa: 8th Aug, 2025Mkurugenzi Idara ya Elimu na Mafunzo,Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dkt. Esther Nkuba akifanya mahojiano na watangazaji wa TBC One kipindi cha jambo kuelezea umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji tarehe 07 Agosti, 2025....Soma zaidi

Jitihada za pamoja zinahitajika kupambana na Udumavu – Dkt. Yonazi
Imewekwa: 2nd Aug, 2025Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu katika mapambano dhidi ya utapiamlo nchini....Soma zaidi

Wadau, serikali tushirikiane kuimarisha lishe nchini
Imewekwa: 25th Jul, 2025Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC), Dkt. Ntuli Kapologwe,...Soma zaidi

Ushiriki wa Sekta Binafsi katika kupambana na changamoto za Utapiamlo.
Imewekwa: 29th Jun, 2025Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obey Assery (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti mwenza...Soma zaidi