Habari
Jumuiya ya watu wasioona Tanzania yakabidhi cheti kwa WFP.
Imewekwa: 15th May, 2024Jumuiya ya Watu Wasioona Tanzania (TAB) kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi cheti cha pongezi kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), ikiwa ni kuthamini mchango uliotolewa na Shirika hilo...Soma zaidi
Kikao cha wadau wa masuala ya chumvi wajadili matokeo ya utafiti
Imewekwa: 15th May, 2024Wazalishaji Chumvi wadogo na wakati, watendaji ngazi za halmashauri na wajumbe wa kamati ya kuzuia upungufu wa madini joto, wamekutana mkoani Morogoro na kujadili matokeo...Soma zaidi
TFNC na WFP yazidi kuwafikia wanafunzi wasioona kwenye elimu ya masuala ya chakula na lishe
Imewekwa: 21st Apr, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limefanikiwa kuwafikia wanafunzi wasioona wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe na Shule ya Msingi Irente...Soma zaidi
Wanafunzi wasioona shule ya msingi mgeza mseto bukoba wapatiwa vitabu vya braille na radio zenye ujumbe muhimu wa lishe
Imewekwa: 8th Apr, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi vitabu 30 na radio 50 zenye ujumbe muhimu wa lishe kwa watu wasioona vilivyoandaliwa kwa maandishi ya nukta nundu (Braille)...Soma zaidi