Habari

news image

Kikao kazi cha wajumbe wa kamati ya wataalamu kujadili masuala ya Lishe nchini

Imewekwa: 10th Oct, 2023

Wajumbe wa kamati ya Wataalamu ya kuhamasisha na kuendeleza masuala ya Lishe nchini, Oktoba 9, 2023 wamekutana jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali...Soma zaidi

news image

Tumieni taaluma zenu kutatua changamoto za masuala ya chakula na lishe kwenye jamii

Imewekwa: 26th Sep, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna, amefungua mafunzo elekezi kwa Waajiriwa wapya wa Taasisi, ambapo amewataka kutumia taaluma zao katika kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za masuala ya chakula na lishe zinazoikabili jamii....Soma zaidi

news image

Mwenyekiti wa Bodi ya TFNC akutana na Menejimenti na Watumishi

Imewekwa: 14th Sep, 2023

Mwenyekiti Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obey Assery, leo Septemba 14, 2023...Soma zaidi

news image

Wekeni kipaumbele kwenye utekelezaji wa afua za lishe

Imewekwa: 12th Sep, 2023

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetoa wito kwa Serikali kuendelea kuweka kipaumbele katika utekelezaji wa afua mbalimbali za lishe nchini, ili kuwezesha kuwa Taifa lenye watu wenye afya na lishe bora...Soma zaidi