Habari

Kikao cha kujadili njia shirikishi kwa wataalamu wa afya kuhudhuria kozi za muda mfupi
Imewekwa: 25th Aug, 2024Wabobezi wa fani ya HCD (Human Centered Design Approach) kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamekutana Kibaha mkoani Pwani kujadili njia shirikishi...Soma zaidi

Kikao kwa ajili ya kushirikiana katika eneo la utekelezaji wa mradi wa IMAN
Imewekwa: 20th Aug, 2024Tarehe 19 Agosti, 2024 Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Kimataifa la Evidence Action la nchini Marekani ambapo kwa...Soma zaidi

Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanaendelea Jijini Dodoma
Imewekwa: 6th Aug, 2024Tunaendelea na utoaji elimu wa masuala ya Chakula na Lishe katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanayofanyika katika uwanja wa Nzuguni jijini Dodoma....Soma zaidi

Maadhimisho Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama 1-7 Agosti, 2024
Imewekwa: 3rd Aug, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa akina mama wanaonyonyesha ili kumwezesha mama kuwa na maziwa ya kutosha kwa ajili ya Mtoto...Soma zaidi