Dira:
Kuwa Kituo cha umahiri kinachotoa uongozi wa kimkakati katika lishe kwa wateja wetu na washirika, ndani na nje ya nchi.
Dhima:
Kuratibu, kuongoza na kuchochea utekelezaji wa afua madhubuti za lishe kwa lengo la kuzuia na kudhibiti matatizo ya utapiamlo nchini Tanzania.
Maadili ya msingi:
-
Uwajibikaji
-
Ushirikishwaji
-
Heshima
-
Usawa
-
Uadilifu
-
Utaalamu
-
Uwazi
-
Ufanisi
