Habari
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1690730477-TFNC-NEWYORKUNIVERSITY.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji TFNC akutana na Mwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha New York
Imewekwa: 30th Jul, 2023Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna akiwa na Menejimenti ya Taasisi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha New York kilichopo nchini Marekani Prof. Amr Soliman...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1690195993-FORTIFICATION3.jpg)
GAIN kuendelea kushirikiana na Serikali kuongeza virutubishi kwenye chakula
Imewekwa: 24th Jul, 2023Shirika la Global Alliance For Improved Nutrition (GAIN) limesisitiza litaendelea kushirikiana na Serikali hususani kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, kuendelea kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kutumia vyakula vilivyoongezwa virutubishi ikiwemo unga wa Mahindi, Ngano,...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1689951984-elimu-lishe-mbeya-MoH.jpg)
Kikao kazi cha kuandaa Mwongozo wa utoaji elimu ya lishe cha fanyika mkoani Mbeya
Imewekwa: 21st Jul, 2023Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Lishe Wizara ya Afya, Neema Joshua akielezea kwa ufupi malengo ya kikao kazi cha kuandaa Mwongozo wa utoaji elimu ya lishe utakaotumiwa na viongozi wa dini Tanzania Bara....Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1689949404-sanku-kikao.jpg)
TFNC-Kuendelea kushirikia na wadau utekelezaji afua mbalimbali za lishe
Imewekwa: 21st Jul, 2023Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzani Dkt. Germana Leyna, amesema Taasisi ya Chakula na Lishe itaendelea kushirikiana na wadau katika masuala mbalimbali...Soma zaidi