Habari
Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji akiwa katika mazungumzo na Bw.Zagalo na Bi.Elizabeth kutoka PlateAI Company
Imewekwa: 19th Feb, 2024Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi. Maria Ngilisho, ambaye ni Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji wa Tanzania Bara, akiwa kwenye mazungumzo na Bw. Zagalo Emanuel na Bi. Elizabeth Mmari...Soma zaidi
Zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto mkoani Njombe linaendelea
Imewekwa: 19th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Njombe pamoja na Shirika la Kuhudumia Watoto duniani (UNICEF) wanaendelea na zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto wali chini ya umri wa miaka 5 pamoja na wanawake walio...Soma zaidi
Zoezi Utafiti gharama za Utapiamlo nchini lazinduliwa rasmi
Imewekwa: 19th Feb, 2024Februari 14, 2024 Tanzania inazindua rasmi zoezi la Utafiti kuhusu gharama za Utapiamlo nchini “The Cost of Hunger in Africa -COHA:Tanzania Study”. Utafiti huu unalenga kubainisha makadirio ya gharama zinazosababishwa na changamoto za Lishe duni/ Utapiamlo;...Soma zaidi
Kuwajengea uwezo maafisa lishe kutoka mikoa 26
Imewekwa: 10th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na IFNA (Initiative for Food and Nutrition Security in Africa) Secretariat na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Japani (JICA) imeendesha mafunzo ya siku 3 kwa Maafisa lishe...Soma zaidi