Habari

IGAD yaichagua Taasisi ya chakula na lishe Tanzania kuwa kituo umahiri cha kikanda.
Imewekwa: 11th Nov, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe kuwa kituo cha umahiri cha Kikanda kitakachotumika katika kupanga, kupima. Kuchakata na kujenga uwezo wa vituo vingine katika taarifa za lishe zinazotokana na sampuli za vyakula na binadamu....Soma zaidi

Mkutano Mkuu wa tisa wa wadau wa lishe
Imewekwa: 26th Oct, 2023Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ili kujionea utekelezaji wa afua za lishe wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Lishe uliofanyika katika Hotel ya Mount Meru jijini Arusha, ambapo Waziri Mkuu alikuwa mgeni rasmi katika Mkutano huo...Soma zaidi

TFNC ya shiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu Virutubishi vya Madini na Vitamini nchini Uholanzi
Imewekwa: 20th Oct, 2023Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa kujadili masuala mbalimbali...Soma zaidi

Kikao kazi cha wajumbe wa kamati ya wataalamu kujadili masuala ya Lishe nchini
Imewekwa: 10th Oct, 2023Wajumbe wa kamati ya Wataalamu ya kuhamasisha na kuendeleza masuala ya Lishe nchini, Oktoba 9, 2023 wamekutana jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali...Soma zaidi