Habari
Waandishi wa habari toeni elimu sahihi zinazohusiana na masuala ya chakula na lishe
Imewekwa: 27th Sep, 2024Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu masuala ya chakula na lishe kwa jamii ya Watanzania, na kuachana na zile zisizo sahihi ambazo zimekuwa zikizua taharuki kwenye jamii....Soma zaidi
TFNC na Iodine Global Network(IGN) kufanya utafiti wa mfumo wa ufuatiliaji wa takwimu za chumvi yenye madini joto
Imewekwa: 20th Sep, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Iodine Global Network (IGN) wanatarajia kufanya Utafiti wa majaribio ya Mfumo wa ufuatiliaji wa Takwimu za Chumvi...Soma zaidi
Chuo cha Utumishi wa Umma kimetoa mafunzo kwa Menejimenti ya TFNC
Imewekwa: 11th Sep, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma imetoa mafunzo kwa Menejimenti ya TFNC...Soma zaidi
Kikao cha kujadili njia shirikishi kwa wataalamu wa afya kuhudhuria kozi za muda mfupi
Imewekwa: 25th Aug, 2024Wabobezi wa fani ya HCD (Human Centered Design Approach) kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamekutana Kibaha mkoani Pwani kujadili njia shirikishi...Soma zaidi
