Habari

Kikao cha Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Menejimenti ya TFNC
Imewekwa: 19th Nov, 2023Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya Dkt. Ntuli Kapologwe, Novemba 17 2023 , amekutana na Menejimenti ya Taasisi...Soma zaidi

Waziri wa Afya azindua rasmi Mwongozo wa Taifa wa Chakula na Ulaji
Imewekwa: 17th Nov, 2023Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua rasmi Mwongozo wa Taifa wa Chakula na Ulaji, uliandaliwa ili kuhamasisha matumizi sahihi...Soma zaidi

IGAD yaichagua Taasisi ya chakula na lishe Tanzania kuwa kituo umahiri cha kikanda.
Imewekwa: 11th Nov, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe kuwa kituo cha umahiri cha Kikanda kitakachotumika katika kupanga, kupima. Kuchakata na kujenga uwezo wa vituo vingine katika taarifa za lishe zinazotokana na sampuli za vyakula na binadamu....Soma zaidi

Mkutano Mkuu wa tisa wa wadau wa lishe
Imewekwa: 26th Oct, 2023Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ili kujionea utekelezaji wa afua za lishe wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Lishe uliofanyika katika Hotel ya Mount Meru jijini Arusha, ambapo Waziri Mkuu alikuwa mgeni rasmi katika Mkutano huo...Soma zaidi