Mafunzo ya kuijengea uwezo kamati ya lishe mkoani Kagera
08 Sep, 2025
Mafunzo ya kuijengea uwezo kamati ya lishe mkoani Kagera
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania leo tarehe 15/03/2021 imetoa mafunzo ya kuijengea uwezo kamati ya lishe ya Mkoa wa Kagera ili kuweza kusimamia masuala ya kuongeza virutubisho kwenye vyakula vya kusindika kupitia mradi wa “pooled project “ unaotekelezwa kwa pamoja na TAMISEMI, ofisi ya Waziri Mkuu na shirika la GAIN.