Habari

news image

Tafiti zote zinazohusu chakula na lishe kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara

Imewekwa: 20th Feb, 2024

Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga kuweka sharti kwa kufanya uchunguzi wa kimaabara kwenye tafiti zozote nchini zinazohusisha masuala ya chakula na lishe katika Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC)....Soma zaidi

news image

Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji akiwa katika mazungumzo na Bw.Zagalo na Bi.Elizabeth kutoka PlateAI Company

Imewekwa: 19th Feb, 2024

Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi. Maria Ngilisho, ambaye ni Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji wa Tanzania Bara, akiwa kwenye mazungumzo na Bw. Zagalo Emanuel na Bi. Elizabeth Mmari...Soma zaidi

news image

Zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto mkoani Njombe linaendelea

Imewekwa: 19th Feb, 2024

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Njombe pamoja na Shirika la Kuhudumia Watoto duniani (UNICEF) wanaendelea na zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto wali chini ya umri wa miaka 5 pamoja na wanawake walio...Soma zaidi

news image

Zoezi Utafiti gharama za Utapiamlo nchini lazinduliwa rasmi

Imewekwa: 19th Feb, 2024

Februari 14, 2024 Tanzania inazindua rasmi zoezi la Utafiti kuhusu gharama za Utapiamlo nchini “The Cost of Hunger in Africa -COHA:Tanzania Study”. Utafiti huu unalenga kubainisha makadirio ya gharama zinazosababishwa na changamoto za Lishe duni/ Utapiamlo;...Soma zaidi