Habari

news image

Dkt. Vincent aagiza elimu ya ulaji unaofaa kuwafikia wananchi

Imewekwa: 28th Feb, 2019

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dkt. Assey Vincent ameiagiza kamati ya kitaifa ya kuzuia na kudhibiti magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza yanayohusiana na ulaji usiofaa kuendelea kutoa elimu ...Soma zaidi

news image

Bodi Yatembelea Rasilimali za Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania

Imewekwa: 4th Feb, 2019

Wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) wamefanya ziara ya kutembelea rasilimali za Taasisi tarehe 30 Januari, 2019. Mali zilizotembeleawa ni pamoja...Soma zaidi

news image

Naibu Waziri azindua Bodi ya TFNC na kutoa maagizo

Imewekwa: 17th Jan, 2019

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) ameagiza Bodi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupambana na utapiamlo kwa kuwekeza katika lishe ili watanzania wengi wasipate magonjwa, wakati akiizindua rasmi bodi hiyo tarehe 18 Disemba, 2018....Soma zaidi

news image

Halmashauri 14 zapatiwa mafunzo ya kuongeza madini joto

Imewekwa: 16th Oct, 2018

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetoa mafunzo ya kuongeza madini joto kwenye chumvi kwa wazalishaji 715 toka halmashauri 14 zinazozalisha chumvi kwa wingi nchini ikiwemo halmashauri ya wilaya ya Rufiji, Mkuranga, Bagamoyo, ...Soma zaidi