Habari
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1717571838-FBDG-CAMPAIN5.jpg)
Kampeni ya lishe bora kwa njia ya daladala yazinduliwa rasmi
Imewekwa: 5th Jun, 2024Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamezindua rasmi kampeni ya Lishe Bora kwa Njia ya Daladala, ikilenga kuongeza uelewa kwa wanajamii wote juu matumizi sahihi ya chakula ili kuhamasisha ulaji unaofaa...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1717423606-SANKU.jpg)
Virutubishi vinavyoongezwa kwenye chakula sasa kuanza kuzalishwa nchini
Imewekwa: 3rd Jun, 2024Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, amesema Tanzania inatarajia kuachana na kuagiza Virutubishi...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1716634051-PMO-TFNC-DP3.jpg)
Dkt. Yonazi aongoza kikao cha wadau wa lishe kuelekea maandalizi ya mkutano mkuu wa wadau wa lishe nchini.
Imewekwa: 25th May, 2024Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt.Jim Yonazi leo Mei 24 2024, ameongoza kikao cha Wadau wa lishe...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1715754003-VITABU-WFP.jpg)
Jumuiya ya watu wasioona Tanzania yakabidhi heti kwa WFP.
Imewekwa: 15th May, 2024Jumuiya ya Watu Wasioona Tanzania (TAB) kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi cheti cha pongezi kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), ikiwa ni kuthamini mchango uliotolewa na Shirika hilo...Soma zaidi