Habari

news image

Kampeni ya lishe bora kwa njia ya daladala yazinduliwa rasmi

Imewekwa: 5th Jun, 2024

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamezindua rasmi kampeni ya Lishe Bora kwa Njia ya Daladala, ikilenga kuongeza uelewa kwa wanajamii wote juu matumizi sahihi ya chakula ili kuhamasisha ulaji unaofaa...Soma zaidi

news image

Virutubishi vinavyoongezwa kwenye chakula sasa kuanza kuzalishwa nchini

Imewekwa: 3rd Jun, 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, amesema Tanzania inatarajia kuachana na kuagiza Virutubishi...Soma zaidi

news image

Dkt. Yonazi aongoza kikao cha wadau wa lishe kuelekea maandalizi ya mkutano mkuu wa wadau wa lishe nchini.

Imewekwa: 25th May, 2024

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt.Jim Yonazi leo Mei 24 2024, ameongoza kikao cha Wadau wa lishe...Soma zaidi

news image

Jumuiya ya watu wasioona Tanzania yakabidhi heti kwa WFP.

Imewekwa: 15th May, 2024

Jumuiya ya Watu Wasioona Tanzania (TAB) kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi cheti cha pongezi kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), ikiwa ni kuthamini mchango uliotolewa na Shirika hilo...Soma zaidi