Habari

Taarifa za lishe zilizokusanywa kupitia siku ya Afya na Lishe ya Kijiji (SALIKI)
Imewekwa: 6th Mar, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na mkoa wa Iringa, imekamilisha uchakataji wa taarifa za lishe zilizokusanywa...Soma zaidi

Kikao cha Matokeo ya Utafiti wa Gharama za Utapiamlo nchini.
Imewekwa: 28th Feb, 2025Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Paul Sangawe ameongoza...Soma zaidi

Mkutano wa Uthibitishaji wa Matokeo ya Utafiti kuhusu Gharama ya Utapiamlo Afrika (COHA)
Imewekwa: 8th Feb, 2025Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Ufuatiliaji wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Bwa. Paul Sangawe amefungua Mkutano wa Uthibitishaji wa Matokeo ya Utafiti kuhusu Gharama ya Utapiamlo Afrika (COHA) kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....Soma zaidi

Kikao cha Tathmini Mradi wa IMAN
Imewekwa: 28th Jan, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na UNICEF, leo Januari 28, 2024 imekutana na wadau wa lishe nchini na kufanya tathmini ya Mradi...Soma zaidi