Habari

Umakini uzingatiwe katika utoaji wa taarifa za masuala ya lishe
Imewekwa: 4th Jun, 2025Vyombo vya habari vimetakiwa kuwa makini katika kuandika au kurusha maudhui yanayopotosha jamii kuhusu lishe sahihi “kwani lishe bora si suala la afya pekee, bali ni msingi wa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.”...Soma zaidi

Wageni kutoka Shirika la PANITA Tanzania na Nigeria watembelea TFNC
Imewekwa: 22nd May, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imetembelewa na wageni kutoka Shirika la PANITA Tanzania...Soma zaidi

TFNC yatoa semina ya ulaji unaofaa TAWLA kupitia mkutano mtandao
Imewekwa: 20th May, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetoa semina ya ulaji na mitindo bora ya maisha ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa wafanyakazi wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA)....Soma zaidi

Kikao cha Wanachama wa Chama cha Wafanyakazi RAAWU tawi la TFNC
Imewekwa: 18th May, 2025Mei 15,2025 Wanachama wa Chama cha Wafanyakazi RAAWU tawi la Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania...Soma zaidi