Habari

news image

WATUMISHI TFNC WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI

Imewekwa: 9th Sep, 2025

Watumushi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wamepatiwa mafunzo ya Usalama Barabarani na wakufunzi wa...Soma zaidi

news image

SIMAMIENI MPANGO WA MMS KWA KUZINGATIA MAHITAJI YA WAJAWAZITO

Imewekwa: 9th Sep, 2025

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amemtaka Mkurugenzi wa Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto Dkt. Ahmad Makuwani pamoja na viongozi wengine wa Wizara ya Afya kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI...Soma zaidi

news image

Maadhimisho ya wiki ya unyenyeshaji duniani 2025

Imewekwa: 8th Aug, 2025

Mkurugenzi Idara ya Elimu na Mafunzo,Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dkt. Esther Nkuba akifanya mahojiano na watangazaji wa TBC One kipindi cha jambo kuelezea umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji tarehe 07 Agosti, 2025....Soma zaidi

news image

Jitihada za pamoja zinahitajika kupambana na Udumavu – Dkt. Yonazi

Imewekwa: 2nd Aug, 2025

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu katika mapambano dhidi ya utapiamlo nchini....Soma zaidi