Habari

Mkutano wa pili wa Wadau wa masuala ya Urutubishaji vyakula na chumvi wafanyika nchini Kenya
Imewekwa: 18th Oct, 2024Mkutano wa pili wa Wadau wa masuala ya Urutubishaji vyakula na chumvi ili kuzuia upungufu wa virutubishi vya madini na vitamin kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika, umefanyika Mombasa nchini Kenya katika Hotel ya Sarova...Soma zaidi

Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II unafanyika nchini Afrika ya Kusini
Imewekwa: 10th Oct, 2024Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana (wa pili kulia mstari wa nyuma) , ameshiriki Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II...Soma zaidi

Waziri Mkuu asema lishe bora ni kipaumbele cha Serikali
Imewekwa: 3rd Oct, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara....Soma zaidi

“Hali ya lishe nchini inaendelea kuimarika” Dkt. Yonazi
Imewekwa: 2nd Oct, 2024Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo...Soma zaidi