Habari

Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanaendelea Jijini Dodoma
Imewekwa: 6th Aug, 2024Tunaendelea na utoaji elimu wa masuala ya Chakula na Lishe katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanayofanyika katika uwanja wa Nzuguni jijini Dodoma....Soma zaidi

Maadhimisho Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama 1-7 Agosti, 2024
Imewekwa: 3rd Aug, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa akina mama wanaonyonyesha ili kumwezesha mama kuwa na maziwa ya kutosha kwa ajili ya Mtoto...Soma zaidi

Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana na upungufu wa damu
Imewekwa: 1st Aug, 2024Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna pamoja Meneja wa Maabara ya Taasisi Bwa. Tedson Lukindo, wameshiriki kwenye Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana...Soma zaidi

Elimu ya lishe inaendelea kutolewa
Imewekwa: 12th Jun, 2024Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi.Maria Ngilisho, akiendelea kutoa elimu ya Lishe kwa wakazi waliokuwa wakielekea Mbagala...Soma zaidi