Habari

news image

Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanaendelea Jijini Dodoma

Imewekwa: 6th Aug, 2024

Tunaendelea na utoaji elimu wa masuala ya Chakula na Lishe katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanayofanyika katika uwanja wa Nzuguni jijini Dodoma....Soma zaidi

news image

Maadhimisho Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama 1-7 Agosti, 2024

Imewekwa: 3rd Aug, 2024

​Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa akina mama wanaonyonyesha ili kumwezesha mama kuwa na maziwa ya kutosha kwa ajili ya Mtoto...Soma zaidi

news image

Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana na upungufu wa damu

Imewekwa: 1st Aug, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna pamoja Meneja wa Maabara ya Taasisi Bwa. Tedson Lukindo, wameshiriki kwenye Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana...Soma zaidi

news image

Elimu ya lishe inaendelea kutolewa

Imewekwa: 12th Jun, 2024

​Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi.Maria Ngilisho, akiendelea kutoa elimu ya Lishe kwa wakazi waliokuwa wakielekea Mbagala...Soma zaidi