Habari
Ripoti- Tumetekeleza 2024-2025
Imewekwa: 11th Jun, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania - Tumetekeleza 2024-2025...Soma zaidi
TFNC, PANITA wawajengea uwezo waandishi wa habari
Imewekwa: 6th Jun, 2025Jukwaa la Lishe Tanzania (PANITA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) wamendesha semina ya siku moja kwa waandishi wa habari nchini inayolenga kuongeza uelewa wao juu ya mambo mbalimbali...Soma zaidi
Umakini uzingatiwe katika utoaji wa taarifa za masuala ya lishe
Imewekwa: 4th Jun, 2025Vyombo vya habari vimetakiwa kuwa makini katika kuandika au kurusha maudhui yanayopotosha jamii kuhusu lishe sahihi “kwani lishe bora si suala la afya pekee, bali ni msingi wa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.”...Soma zaidi
Wageni kutoka Shirika la PANITA Tanzania na Nigeria watembelea TFNC
Imewekwa: 22nd May, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imetembelewa na wageni kutoka Shirika la PANITA Tanzania...Soma zaidi
