Habari

news image

Utafiti wa gharama za utapiamlo (COHA) wapamba moto

Imewekwa: 10th Feb, 2024

Timu ya Taifa ya utekelezajia wa zoezi la Utafiti unaohusu gharama za Utapiamlo nchini yaani “ The Cost of Hunger in Africa -COHA ” wamekutana mkoani Morogoro kupitia na kufanya uchambuzi wa taarifa mbalimbali...Soma zaidi

news image

Watumishi wa Maabara ya TFNC, wakipatiwa mafunzo ya ndani ya Mifumo ya Ubora wa Maabara

Imewekwa: 25th Jan, 2024

Watumishi wa Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, wakipatiwa mafunzo ya ndani ya Mifumo ya Ubora wa Maabara (Quality Management System) katika kutekeleza mkakati wa kuboresha huduma za maabara na kuanzisha mchakato...Soma zaidi

news image

Uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Afya na Lishe na Mkakati na Mwongozo wa Elimu ya Afya na Lishe katika Skuli za Zanzibar

Imewekwa: 11th Dec, 2023

Leo Disemba 11, 2023 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna, ameshiriki katika hafla...Soma zaidi

news image

Kikao cha Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Menejimenti ya TFNC

Imewekwa: 19th Nov, 2023

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya Dkt. Ntuli Kapologwe, Novemba 17 2023 , amekutana na Menejimenti ya Taasisi...Soma zaidi