Habari

Waziri Mkuu asema lishe bora ni kipaumbele cha Serikali
Imewekwa: 3rd Oct, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara....Soma zaidi

“Hali ya lishe nchini inaendelea kuimarika” Dkt. Yonazi
Imewekwa: 2nd Oct, 2024Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo...Soma zaidi

Timu ya Watafiti bobezi kutoka TFNC pamoja na IGN watoa mafunzo mkoa wa Singida
Imewekwa: 30th Sep, 2024Timu ya Watafiti bobezi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) pamoja na Iodine Global Network (IGN) wametembelea mkoa wa Singida na kutoa mafunzo elekezi ya namna ya kufanya utafiti...Soma zaidi

Waandishi wa habari toeni elimu sahihi zinazohusiana na masuala ya chakula na lishe
Imewekwa: 27th Sep, 2024Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu masuala ya chakula na lishe kwa jamii ya Watanzania, na kuachana na zile zisizo sahihi ambazo zimekuwa zikizua taharuki kwenye jamii....Soma zaidi