Habari
Taasisi kuendelea kushirikiana na wadau kukuza afua za uongezwaji virutubishi kwenye vyakula
Imewekwa: 24th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutambua njia bora za kukuza ushiriki wa sekta binafsi katika afua za uongezwaji wa viritubishi kwenye vyakula ili kupambana...Soma zaidi
TFNC yashiriki maadhimisho siku ya maandishi ya nukta nundu
Imewekwa: 24th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeshiriki katika Kongamano la kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Maandishi ya Wasioona Duniani (Braille) ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Singida kuanzia Februari 20 hadi 22 , 2024....Soma zaidi
Tafiti zote zinazohusu chakula na lishe kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara
Imewekwa: 20th Feb, 2024Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga kuweka sharti kwa kufanya uchunguzi wa kimaabara kwenye tafiti zozote nchini zinazohusisha masuala ya chakula na lishe katika Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC)....Soma zaidi
Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji akiwa katika mazungumzo na Bw.Zagalo na Bi.Elizabeth kutoka PlateAI Company
Imewekwa: 19th Feb, 2024Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi. Maria Ngilisho, ambaye ni Mratibu wa Mwongozo wa Chakula na Ulaji wa Tanzania Bara, akiwa kwenye mazungumzo na Bw. Zagalo Emanuel na Bi. Elizabeth Mmari...Soma zaidi