Habari

TFNC na Global Communities wasaini mkataba wa utekelezaji wa programu ya lishe shuleni
Imewekwa: 17th Mar, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania pamoja na Shirika lisilo la Kiserikali la "Global Communities" wamesaini mkataba wa makubaliano ya utekelezaji wa programu ya Lishe shuleni,...Soma zaidi

Matokeo ya utafiti wa hali ya lishe ya wanafunzi shule ya msingi yatolewa
Imewekwa: 10th Mar, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria imetoa matokeo ya utafiti wa hali ya lishe...Soma zaidi

Mafunzo Usindikiaji Chakula
Imewekwa: 7th Mar, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) imetoa mafunzo ya usindikaji...Soma zaidi

Wenye kifua kikuu na VVU kupata elimu ya lishe kiganjani
Imewekwa: 6th Mar, 2023Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wamezindua Programu ya Simu inayohusu Masuala ya Lishe kwa watu wanaoishi na...Soma zaidi