Habari

Timu ya Watafiti bobezi kutoka TFNC pamoja na IGN watoa mafunzo mkoa wa Singida
Imewekwa: 30th Sep, 2024Timu ya Watafiti bobezi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) pamoja na Iodine Global Network (IGN) wametembelea mkoa wa Singida na kutoa mafunzo elekezi ya namna ya kufanya utafiti...Soma zaidi

Waandishi wa habari toeni elimu sahihi zinazohusiana na masuala ya chakula na lishe
Imewekwa: 27th Sep, 2024Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu masuala ya chakula na lishe kwa jamii ya Watanzania, na kuachana na zile zisizo sahihi ambazo zimekuwa zikizua taharuki kwenye jamii....Soma zaidi

TFNC na Iodine Global Network(IGN) kufanya utafiti wa mfumo wa ufuatiliaji wa takwimu za chumvi yenye madini joto
Imewekwa: 20th Sep, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Iodine Global Network (IGN) wanatarajia kufanya Utafiti wa majaribio ya Mfumo wa ufuatiliaji wa Takwimu za Chumvi...Soma zaidi

Chuo cha Utumishi wa Umma kimetoa mafunzo kwa Menejimenti ya TFNC
Imewekwa: 11th Sep, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma imetoa mafunzo kwa Menejimenti ya TFNC...Soma zaidi