Habari
TFNC na WFP yagawa vitabu vya braille na radio zenye ujumbe wa lishe kwa watu wasioona
Imewekwa: 24th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi vitabu 170 kati ya 500 vyenye ujumbe muhimu wa lishe kwa watu wasioona vilivyoandaliwa kwa maandishi ya nukta nundu (Braille) pamoja na redio 50 kati ya 500...Soma zaidi
Taasisi kuendelea kushirikiana na wadau kukuza afua za uongezwaji virutubishi kwenye vyakula
Imewekwa: 24th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutambua njia bora za kukuza ushiriki wa sekta binafsi katika afua za uongezwaji wa viritubishi kwenye vyakula ili kupambana...Soma zaidi
TFNC yashiriki maadhimisho siku ya maandishi ya nukta nundu
Imewekwa: 24th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeshiriki katika Kongamano la kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Maandishi ya Wasioona Duniani (Braille) ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Singida kuanzia Februari 20 hadi 22 , 2024....Soma zaidi
Tafiti zote zinazohusu chakula na lishe kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara
Imewekwa: 20th Feb, 2024Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga kuweka sharti kwa kufanya uchunguzi wa kimaabara kwenye tafiti zozote nchini zinazohusisha masuala ya chakula na lishe katika Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC)....Soma zaidi