Kikao cha Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Menejimenti ya TFNC
09 Sep, 2025
Kikao cha Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Menejimenti ya TFNC
Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya Dkt. Ntuli Kapologwe, Leo Novemba 17 2023 , amekutana na Menejimenti ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo Mikakati ya utoaji wa elimu ya masuala ya Chakula na Lishe kwa umma wa Watanzania.