Kikao cha Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Menejimenti ya TFNC

News Image

Imewekwa: 19th Nov, 2023

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya Dkt. Ntuli Kapologwe, Leo Novemba 17 2023 , amekutana na Menejimenti ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo Mikakati ya utoaji wa elimu ya masuala ya Chakula na Lishe kwa umma wa Watanzania.