Habari

Zoezi Utafiti gharama za Utapiamlo nchini lazinduliwa rasmi
Imewekwa: 19th Feb, 2024Februari 14, 2024 Tanzania inazindua rasmi zoezi la Utafiti kuhusu gharama za Utapiamlo nchini “The Cost of Hunger in Africa -COHA:Tanzania Study”. Utafiti huu unalenga kubainisha makadirio ya gharama zinazosababishwa na changamoto za Lishe duni/ Utapiamlo;...Soma zaidi

Kuwajengea uwezo maafisa lishe kutoka mikoa 26
Imewekwa: 10th Feb, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na IFNA (Initiative for Food and Nutrition Security in Africa) Secretariat na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Japani (JICA) imeendesha mafunzo ya siku 3 kwa Maafisa lishe...Soma zaidi

Rais wa Shirika la Kimataifa la Nutrition International atembelea TFNC
Imewekwa: 10th Feb, 2024Rais wa Shirika la Kimataifa la Nutrition International (NI) kutoka Canada, Bw. Joel Spicer amefanya ziara Tanzania na kutembelea Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)...Soma zaidi

Utafiti wa gharama za utapiamlo (COHA) wapamba moto
Imewekwa: 10th Feb, 2024Timu ya Taifa ya utekelezajia wa zoezi la Utafiti unaohusu gharama za Utapiamlo nchini yaani “ The Cost of Hunger in Africa -COHA ” wamekutana mkoani Morogoro kupitia na kufanya uchambuzi wa taarifa mbalimbali...Soma zaidi