Habari
TFNC yapokea wageni kutoka DANISH-NATCOM na UNICEF Tanzania
Imewekwa: 17th Jan, 2025Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetembelewa na wageni kutoka Shirika la DANISH- NATCOM, wakiongozana na Maafisa wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia...Soma zaidi
Kikao kazi cha Ushirikiano
Imewekwa: 7th Jan, 2025Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakuka na Lishe Tanzania, Dkt. Germana Leyna akiongea na viongozi wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Tanzania wakiongozwa na Rais wa Shirikisho...Soma zaidi
Semina kwa Watafiti
Imewekwa: 23rd Dec, 2024Watafiti wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) Disemba 20, 2024 wamejengewa uwezo namna ya kutumia taaluma za kilimo, lishe na afya ili kuwawezesha kutumia uhusiano uliopo kati ya Kilimo,...Soma zaidi
KIKAO KAZI KUJADILI MATOKEO MRADI WA IMAN
Imewekwa: 14th Dec, 2024Novemba 13, 2024 Wajumbe wa Kamati ya Ushauri wa Kitaalamu ya kusimamia utekelezaji wa mradi wa kuboresha lishe ya wanawake wajawazito (IMAN) uliotekelezwa mkoani Mbeya, wamekutana jijini Dodoma na kujadili masuala mbalimbali kuhusiana na matokeo ya utafiti wa mradi huo....Soma zaidi
