Habari

news image

Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II unafanyika nchini Afrika ya Kusini

Imewekwa: 10th Oct, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana (wa pili kulia mstari wa nyuma) , ameshiriki Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II...Soma zaidi

news image

Waziri Mkuu asema lishe bora ni kipaumbele cha Serikali

Imewekwa: 3rd Oct, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara....Soma zaidi

news image

“Hali ya lishe nchini inaendelea kuimarika” Dkt. Yonazi

Imewekwa: 2nd Oct, 2024

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo...Soma zaidi

news image

Timu ya Watafiti bobezi kutoka TFNC pamoja na IGN watoa mafunzo mkoa wa Singida

Imewekwa: 30th Sep, 2024

Timu ya Watafiti bobezi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) pamoja na Iodine Global Network (IGN) wametembelea mkoa wa Singida na kutoa mafunzo elekezi ya namna ya kufanya utafiti...Soma zaidi