Habari
Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II unafanyika nchini Afrika ya Kusini
Imewekwa: 10th Oct, 2024Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana (wa pili kulia mstari wa nyuma) , ameshiriki Mkutano wa pamoja na watafiti wa mradi wa GROWNNUT II...Soma zaidi
Waziri Mkuu asema lishe bora ni kipaumbele cha Serikali
Imewekwa: 3rd Oct, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara....Soma zaidi
“Hali ya lishe nchini inaendelea kuimarika” Dkt. Yonazi
Imewekwa: 2nd Oct, 2024Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo...Soma zaidi
Timu ya Watafiti bobezi kutoka TFNC pamoja na IGN watoa mafunzo mkoa wa Singida
Imewekwa: 30th Sep, 2024Timu ya Watafiti bobezi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) pamoja na Iodine Global Network (IGN) wametembelea mkoa wa Singida na kutoa mafunzo elekezi ya namna ya kufanya utafiti...Soma zaidi
