Habari

TFNC na WFP yazidi kuwafikia wanafunzi wasioona kwenye elimu ya masuala ya chakula na lishe
Imewekwa: 21st Apr, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limefanikiwa kuwafikia wanafunzi wasioona wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe na Shule ya Msingi Irente...Soma zaidi

Wanafunzi wasioona shule ya msingi mgeza mseto bukoba wapatiwa vitabu vya braille na radio zenye ujumbe muhimu wa lishe
Imewekwa: 8th Apr, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imekabidhi vitabu 30 na radio 50 zenye ujumbe muhimu wa lishe kwa watu wasioona vilivyoandaliwa kwa maandishi ya nukta nundu (Braille)...Soma zaidi

Kikao cha Mwenyekiti wa Bodi ya TFNC na Menejimenti
Imewekwa: 29th Mar, 2024Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obey Assery, leo Machi 27, 2024, amekutana na Menejimenti ya Taasisi na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo kupokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali ambazo zimetekelezwa na Taasisi....Soma zaidi

Ziara ya Katibu Mkuu Wizara ya Afya katika Maabara ya TFNC
Imewekwa: 24th Mar, 2024Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu tarehe 22 Machi, 2024 amefanya ziara kwenye Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) iliyopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kukagua na kuona kazi zinazofanyika katika maabara hiyo....Soma zaidi