Habari

Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana na upungufu wa damu
Imewekwa: 1st Aug, 2024Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna pamoja Meneja wa Maabara ya Taasisi Bwa. Tedson Lukindo, wameshiriki kwenye Mkutano wa kikanda wa kujali Mikakati ya kupambana...Soma zaidi

Elimu ya lishe inaendelea kutolewa
Imewekwa: 12th Jun, 2024Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bi.Maria Ngilisho, akiendelea kutoa elimu ya Lishe kwa wakazi waliokuwa wakielekea Mbagala...Soma zaidi

Wadau wa lishe wahimizwa kuendelea kuisaidia serikali kwenye tafiti za lishe
Imewekwa: 12th Jun, 2024Wadau na wafadhili wa shughuli za lishe nchini, wameshauriwa kujitokeza na kuisaidia Serikali rasilimali fedha, na...Soma zaidi

Chuo kikuu cha TSING HUAN na TFNC zaungana kukabiliana na tatizo la upungufu wa damu kwa vijana balehe
Imewekwa: 9th Jun, 2024Taasisi ya Chakula na Lishe kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Tsing Huan cha nchini China, wapo katika utekelezaji wa mradi wa majaribio wa utengenezaji asusa zilizoongezwa madini na Vitamini (Zinki, Magneziamu, Vitamini A n.k)...Soma zaidi