Habari

Matumizi ya shilingi 1,000 za afua za lishe kwa watoto wadogo zisimamiwe kikamilifu
Imewekwa: 6th Dec, 2022Na, Mwandishi wetu Musoma, Mara. Wabunge vinara wa lishe nchini wameiomba Serikali kuzichukulia hatua halmashauri zinazoshindwa kutenga shilingi 1,000 za afua za lishe kwa ajili ya watoto chini ya umri wa miaka 5...Soma zaidi

Fanyeni tafiti za kimkakati kuhusu masuala ya lishe
Imewekwa: 6th Dec, 2022Na, Mwandishi wetu- Mara Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (MB) Majaliwa amezitaka Taasisi zinafanya tafiti...Soma zaidi

Mkuu wa Wilaya Musoma Dkt. Haule ahimiza upandaji wa miti
Imewekwa: 6th Dec, 2022NA. MWANDISHI WETU Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalifan Haule amehimiza wananchi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti ya matunda ili kupata matunda na vivuli katika maeneo yetu....Soma zaidi

Naibu Waziri azindua mwongozo wa utekelezaji wa Siku ya Afya na Lishe Kitaifa
Imewekwa: 31st Oct, 2022Naibu Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Godwin Mollel amezindua Mwongozo wa Utekelezaji wa Siku...Soma zaidi