Habari
Dkt. Yonazi “wanaume muwe mstari wa mbele kushiriki masuala ya lishe”
Imewekwa: 11th Sep, 2023Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amewaasa wanaume kuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye masuala yanayohusiana na lishe...Soma zaidi
TFNC yashiriki mjadala wa kisera kuhusu mfumo wa ununuzi wa vyakula
Imewekwa: 8th Sep, 2023Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna (wa pili kushoto), leo ameshiriki...Soma zaidi
Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa UN atembelea Maabara ya TFNC
Imewekwa: 7th Sep, 2023Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa UN anayeratibu vuguvugu la lishe (Scaling Up Nutrition -SUN) Bi. Afshan Khan akiwa na Wajumbe wengine kutoka Ofisi ya Kanda ya SUN...Soma zaidi
Mwenyekiti wa Bodi ya TFNC akutana na Menejimenti
Imewekwa: 31st Aug, 2023Mwenyekiti Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obey Assery, amekutana na Menejimenti ya Taasisi na kujadili masuala mabalimbali ikiwemo kuwapatia mrejesho wa maelekezo yaliyotolewa na Mhe. Rais Dkt Samia...Soma zaidi