Habari

news image

Zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto mkoani Njombe linaendelea

Imewekwa: 19th Feb, 2024

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Njombe pamoja na Shirika la Kuhudumia Watoto duniani (UNICEF) wanaendelea na zoezi la kutathmini hali ya lishe kwa watoto wali chini ya umri wa miaka 5 pamoja na wanawake walio...Soma zaidi

news image

Zoezi Utafiti gharama za Utapiamlo nchini lazinduliwa rasmi

Imewekwa: 19th Feb, 2024

Februari 14, 2024 Tanzania inazindua rasmi zoezi la Utafiti kuhusu gharama za Utapiamlo nchini “The Cost of Hunger in Africa -COHA:Tanzania Study”. Utafiti huu unalenga kubainisha makadirio ya gharama zinazosababishwa na changamoto za Lishe duni/ Utapiamlo;...Soma zaidi

news image

Kuwajengea uwezo maafisa lishe kutoka mikoa 26

Imewekwa: 10th Feb, 2024

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na IFNA (Initiative for Food and Nutrition Security in Africa) Secretariat na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Japani (JICA) imeendesha mafunzo ya siku 3 kwa Maafisa lishe...Soma zaidi

news image

Rais wa Shirika la Kimataifa la Nutrition International atembelea TFNC

Imewekwa: 10th Feb, 2024

Rais wa Shirika la Kimataifa la Nutrition International (NI) kutoka Canada, Bw. Joel Spicer amefanya ziara Tanzania na kutembelea Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)...Soma zaidi