Habari

Kikao cha Uongozi wa Jukwaa la Vuguvugu la Lishe Duniani na wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya (EU)
Imewekwa: 29th Mar, 2025Mjumbe wa Uongozi wa Jukwaa la Vuguvugu la Lishe Duniani (Scaling up Nutrition Movement - SUN) ambaye pia ni Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Neema Lugangira ameshiriki vikao na wabunge wa...Soma zaidi

Mkutano wa 4 wa kimataifa wa lishe kwa maendeleo (Nutrition for Growth- N4G)
Imewekwa: 29th Mar, 2025Mkutano wa 4 wa Kimataifa wa Lishe kwa Maendeleo (Nutrition for Growth- N4G) unaofanyika jijini Paris nchini Ufaransa , umeendelea kwa siku ya pili,...Soma zaidi

Matokeo ya Utafiti kuhusu Gharama ya Utapiamlo Afrika (COHA)
Imewekwa: 29th Mar, 2025Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Henry Kilabuko. Leo Machi 19, 2025 ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mahsusi zinazohusika kwenye utekelezaji wa Mpango wa Pili...Soma zaidi

Utafiti wa FORTIMAS awamu ya pili kuendelea katika mikoa ya Dar es salaam, Mtwara na Singida
Imewekwa: 15th Mar, 2025Watafiti kutokaTaasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) pamoja na Wataalamu wa Masuala ya athari za kiafya za upungufu wa madini joto mwilini kutoka Shirika la Iodine Global Network (IGN) Tanzania,...Soma zaidi