Kikao kazi cha Ushirikiano
10 Sep, 2025
Kikao kazi cha Ushirikiano
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakuka na Lishe Tanzania, Dkt. Germana Leyna akiongea na viongozi wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Tanzania wakiongozwa na Rais wa Shirikisho hilo, Dkt. Cynthia Mwambeleko Henjewele juu ya namna ya kushirikiana katika programu mbali mbali za uelimishaji zenye lengo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala ya Lishe bora.