Kikao cha Matokeo ya Utafiti wa Gharama za Utapiamlo nchini.
10 Sep, 2025
Kikao cha Matokeo ya Utafiti wa Gharama za Utapiamlo nchini.
Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Paul Sangawe ameongoza Kikao cha Wakurugenzi kujadili Matokeo ya Utafiti wa Gharama za Utapiamlo nchini. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 24 Februari 2024 katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma.