Zoezi la utafiti kuhusu unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha na nafaka nyingine
22 Jan, 2026
Zoezi la utafiti kuhusu unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha na nafaka nyingine
Afisa Mtafiti Mkuu kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Hoyce Mshida akitoa maelekezo namna ya kujaza dodoso la kukusanya taarifa za utafiti wa kuhakiki ufanisi wa unga mchanganyiko wa mbegu za mchicha na nafaka nyingine katika kupunguza tatizo la utapiamlo kwa watoto wenye umri kuanzia miezi sita hadi 59. Utafiti huu unafanyika kwa muda wa miezi sita katika wilaya mbili za mkoa wa Arusha (Arusha Jiji na Arusha Vijijini).