Habari

Waajiri wanaozuia likizo za uzazi waache mara moja- Ummy Mwalimu
Imewekwa: 2nd Aug, 2019Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy A. Mwalimu (Mb) amewataka waajiri binafsi wanaozuia likizo ya uzazi kuacha mara moja. ...Soma zaidi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya azindua ripoti ya utafiti wa Hali ya Lishe nchini kwa mwaka 2018
Imewekwa: 2nd Aug, 2019Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula azindua ripoti ya utafiti wa Hali ya Lishe nchini kwa mwaka 2018 tarehe 30 Julai,2019 jijini Dodoma....Soma zaidi
TFNC yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
Imewekwa: 15th Jul, 2019Dkt. Germana Leyna ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) akichukua nafasi ya Dkt. Vincent Assey ambaye amestaafu....Soma zaidi

Wadau wa lishe wakutana siku mbili
Imewekwa: 17th May, 2019Wadau wa lishe nchini Tanzania wamekutana katika kikao kazi cha siku mbili kilichofanyika Mei 15 na Mei 16, 2019 katika ukumbi wa Protea jijini Dar es salaam na kujadili namna ya kufanya mapitio ya kati ya utekelezaji wa mpango jumuishi wa kitaifa wa lishe wa miaka mitano ulioanza kutekelezwa mwaka 2016 hadi 2021. ...Soma zaidi