Mafunzo ya kuijengea uwezo kamati ya lishe mkoani Kagera
![News Image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/large-1615814128-deborahfinal.jpg )
Imewekwa: 15th Mar, 2021
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania leo tarehe 15/03/2021 imetoa mafunzo ya kuijengea uwezo kamati ya lishe ya Mkoa wa Kagera ili kuweza kusimamia masuala ya kuongeza virutubisho kwenye vyakula vya kusindika kupitia mradi wa “pooled project “ unaotekelezwa kwa pamoja na TAMISEMI, ofisi ya Waziri Mkuu na shirika la GAIN.