Habari

news image

Naibu Waziri azindua Bodi ya TFNC na kutoa maagizo

Imewekwa: 17th Jan, 2019

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) ameagiza Bodi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupambana na utapiamlo kwa kuwekeza katika lishe ili watanzania wengi wasipate magonjwa, wakati akiizindua rasmi bodi hiyo tarehe 18 Disemba, 2018....Soma zaidi

news image

Halmashauri 14 zapatiwa mafunzo ya kuongeza madini joto

Imewekwa: 16th Oct, 2018

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetoa mafunzo ya kuongeza madini joto kwenye chumvi kwa wazalishaji 715 toka halmashauri 14 zinazozalisha chumvi kwa wingi nchini ikiwemo halmashauri ya wilaya ya Rufiji, Mkuranga, Bagamoyo, ...Soma zaidi

news image

WAJA- Tutaboresha hali ya lishe Ukerewe

Imewekwa: 2nd Oct, 2018

Watoa huduma katika ngazi ya Jamii (WAJA) wilayani Ukerewe wameahidi kuboresha hali ya lishe kwa watoto wachanga, watoto wadogo, wajawazito, wanaonyonyesha na wasichana balehe....Soma zaidi

news image

Ziara ya kikazi ya Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile (Mb)

Imewekwa: 27th Sep, 2018

Ziara ya Mheshimiwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile (Mb) Katika Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Tarehe 25 Septemba, 2018...Soma zaidi