Habari
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1554292249-kibona-dodoma.jpg)
Dodoma na Singida kupambana na utapiamlo kwa kutumia virutubishi mchanganyiko
Imewekwa: 3rd Apr, 2019Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Sikitu Simon amesema kwamba Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kupitia mradi wa Boresha Lishe...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1551790152-news dodoma.jpg)
Watoa huduma katika vituo vya afya Dodoma wapatiwa mafunzo ya mkoba wa siku 1000
Imewekwa: 5th Mar, 2019Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupitia ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la Madaktari Pamoja na Afrika (CUAMM) imetoa mafunzo ya mkoba wa siku 1000 kwa watoa huduma wa ngazi ya vituo vya afya mkoani Dodoma....Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1551361123-MD Picture.jpg)
Dkt. Vincent aagiza elimu ya ulaji unaofaa kuwafikia wananchi
Imewekwa: 28th Feb, 2019Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dkt. Assey Vincent ameiagiza kamati ya kitaifa ya kuzuia na kudhibiti magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza yanayohusiana na ulaji usiofaa kuendelea kutoa elimu ...Soma zaidi
![news image](https://www.tfnc.go.tz/uploads/news/medium-1549266828-bodi-visitsassets.jpg)
Bodi Yatembelea Rasilimali za Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania
Imewekwa: 4th Feb, 2019Wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) wamefanya ziara ya kutembelea rasilimali za Taasisi tarehe 30 Januari, 2019. Mali zilizotembeleawa ni pamoja...Soma zaidi