Habari

news image

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania yazindua Mkataba wa Huduma kwa Wateja

Imewekwa: 11th May, 2022

​Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amezindua rasmi Mkataba wa Huduma kwa Wateja wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ambao lengo lake ni kuweka makubaliano kati ya Taasisi na...Soma zaidi

news image

Maafisa lishe wahimizwa kuwa wabunifu katika kufanya tafiti maeneo ya tiba lishe na afya ya jamii

Imewekwa: 6th Apr, 2022

Maofisa Lishe nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufanya tafiti kwenye maeneo ya tiba lishe na afya ya jamii kwa ujumla ili kuleta manufaa nchini...Soma zaidi

news image

Kikao cha utambulisho wa Msimamizi Mkuu mpya wa shughuli za lishe nchini kutoka UNICEF

Imewekwa: 3rd Mar, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna (mwenye koti jekundu) pamoja Msimamizi Mkuu...Soma zaidi

news image

WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MASHINE TANO ZA KUCHANGANYA CHUMVI NA MADINI JOTO KWA OR-TAMISEMI

Imewekwa: 24th Feb, 2022

Wizara ya Afya imekabidhi mashine tano za kisasa za kuchanganya chumvi na madini joto kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI zilizotolewa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kupitia Shirika la Kimataifa la "Nutrition Intenational" kwa ajili ya...Soma zaidi