Habari

Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania yazindua Mkataba wa Huduma kwa Wateja
Imewekwa: 11th May, 2022Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amezindua rasmi Mkataba wa Huduma kwa Wateja wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ambao lengo lake ni kuweka makubaliano kati ya Taasisi na...Soma zaidi

Maafisa lishe wahimizwa kuwa wabunifu katika kufanya tafiti maeneo ya tiba lishe na afya ya jamii
Imewekwa: 6th Apr, 2022Maofisa Lishe nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufanya tafiti kwenye maeneo ya tiba lishe na afya ya jamii kwa ujumla ili kuleta manufaa nchini...Soma zaidi

Kikao cha utambulisho wa Msimamizi Mkuu mpya wa shughuli za lishe nchini kutoka UNICEF
Imewekwa: 3rd Mar, 2022Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna (mwenye koti jekundu) pamoja Msimamizi Mkuu...Soma zaidi

WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MASHINE TANO ZA KUCHANGANYA CHUMVI NA MADINI JOTO KWA OR-TAMISEMI
Imewekwa: 24th Feb, 2022Wizara ya Afya imekabidhi mashine tano za kisasa za kuchanganya chumvi na madini joto kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI zilizotolewa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kupitia Shirika la Kimataifa la "Nutrition Intenational" kwa ajili ya...Soma zaidi