Maktaba ya Picha

  • Mafunzo kuhusu namna ya kuandaa mitaala

    Mhadhiri Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Afya Na Sayansi Shirikishi Muhimbili Dkt: Doreen Mloka akiwafundisha wafanyakazi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (hawapo pichani) jinsi ya kuandaa mitaala kwenye Taasisi hiyo, Mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Taasisi hiyo Novemba 30,2020.

    Imewekwa : December, 01, 2020

  • Nadharia ya Matokeo Tarajiwa

    Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Hellen Keller imetoa mafunzo kwa watumishi wa Taasisi hiyo kuhusu Nadharia ya Matokeo Tarajiwa (Theory of Change) ili kuwajengea uwezo wa kufanya kazi zao kwa ufanisi, katika kukabiliana na matatizo mbalimbali yanayotokana na Lishe. Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa TFNC tarehe 10 hadi 11 Novemba,2020.

    Imewekwa : November, 10, 2020

  • Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani

    Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani 2020

    Imewekwa : October, 16, 2020

  • Uzinduzi wa mradi wa kutengeneza chakula kwa watoto miezi 6 - 59

    Uzinduzi wa mradi wa kutengeneza chakula kwa watoto wenye umri wa miezi 6 - 59

    Imewekwa : August, 27, 2020

  • Siku ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani na Siku ya Lishe Kitaifa

    Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa, ambayo yamezinduliwa rasmi jijini Dodoma na Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na kuhudhuliwa na wadau mbalimbali wa lishe nchini .

    Imewekwa : August, 08, 2020