Maktaba ya Picha

  • Nadharia ya Matokeo Tarajiwa

    Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Hellen Keller imetoa mafunzo kwa watumishi wa Taasisi hiyo kuhusu Nadharia ya Matokeo Tarajiwa (Theory of Change) ili kuwajengea uwezo wa kufanya kazi zao kwa ufanisi, katika kukabiliana na matatizo mbalimbali yanayotokana na Lishe. Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa TFNC tarehe 10 hadi 11 Novemba,2020.

    Imewekwa : November, 10, 2020

  • Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani

    Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani 2020

    Imewekwa : October, 16, 2020

  • Uzinduzi wa mradi wa kutengeneza chakula kwa watoto miezi 6 - 59

    Uzinduzi wa mradi wa kutengeneza chakula kwa watoto wenye umri wa miezi 6 - 59

    Imewekwa : August, 27, 2020

  • Siku ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani na Siku ya Lishe Kitaifa

    Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa, ambayo yamezinduliwa rasmi jijini Dodoma na Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na kuhudhuliwa na wadau mbalimbali wa lishe nchini .

    Imewekwa : August, 08, 2020

  • Mwezi wa afya na lishe ya mtoto - Disemba 2019

    Habari na Vipeperushi mbalimbali pamoja na katuni katika kampeni ya Mwezi wa afya na lishe ya mtoto kuanzia miezi 6 hadi miaka 5, tarehe 01 - 31 Disemba 2019

    Imewekwa : December, 27, 2019