KIKAO KAZI

Imewekwa: 28th Feb, 2023
Waziri wa nchi OR -TAMISEMI, Mh Anjela Kairuki ambaye ni mwenyekiti wa kazi ya Tathmini ya haraka ya visababishi vya utapiamlo katika mikoa yenye viwango vikubwa vya udumavu nchini amekutana na timu ya Big Win Philanthropy pamoja na kamati ya wataalamu kujadili hatua zilizofikiwa katika kutekeleza kazi hiyo. |
![]() |
Timu ya Big Win Philanthropy ikiwa katika kikao cha pamoja na Kamati ya Kitaalamu kujadili namna ya kuendesha zoezi la Tathmini ya haraka ya visababishi vya utapiamlo katika mikoa yenye viwango vikubwa vya udumavu nchini. |