Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi shule ya msingi Charambe iliyopo Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaam wakichangia mada wakati wa kikao cha kuhamasisha kuchangia chakula wanachopewa watoto shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.
Tarehe 3 Februari 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Nutrition International Makao makuu Geneva Uswiss ili kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuimarisha mikakati ya ushirikiano katika eneo la usimamizi masuala ya lishe nchini.
PANITA, in collaboration with TFNC, convened a two-day advocacy meeting which started on Tuesday, 28 January, in Dodoma to promote improved funding coordination and partner alignment for the effective implementation of the MMS roadmap in Tanzania.
Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi shule ya msingi Charambe iliyopo Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaam wakichangia mada wakati wa kikao cha kuhamasisha kuchangia chakula wanachopewa watoto shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.