Wakizungumza wakati wa kikao kazi cha kuthibitisha mpango huo kilichofanyika Mkoani Morogoro, wadau mbalimbali walioshiriki kwenye kikao hicho wameipongeza Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Pamoja na timu iliyoshiriki katika kuandaa mpango huo hadi kufikia hatua ya mwisho kwani unaenda kusaidia kuimarisha eneo la urutubishaji nchini, na ni mpango ambao wadau wengi wa urutubishaji walikuwa wanauhitaji.
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Wadau wengine wa urutubishaji kupitia ufadhili wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) wako mbioni kukamilisha program ya kitaifa ya urutubishaji wa vyakula ikiwemo uwekaji wa madini joto kwenye chumvi.
Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi shule ya msingi Charambe iliyopo Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaam wakichangia mada wakati wa kikao cha kuhamasisha kuchangia chakula wanachopewa watoto shuleni ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.
Wakizungumza wakati wa kikao kazi cha kuthibitisha mpango huo kilichofanyika Mkoani Morogoro, wadau mbalimbali walioshiriki kwenye kikao hicho wameipongeza Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Pamoja na timu iliyoshiriki katika kuandaa mpango huo hadi kufikia hatua ya mwisho kwani unaenda kusaidia kuimarisha eneo la urutubishaji nchini, na ni mpango ambao wadau wengi wa urutubishaji walikuwa wanauhitaji.