Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ili kujionea utekelezaji wa afua za lishe wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Lishe uliofanyika katika Hotel ya Mount Meru jijini Arusha, ambapo Waziri Mkuu alikuwa mgeni rasmi katika Mkutano huo.