Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akikata utepe kuzindua Mkakati wa Kitaifa kwa Sekta Binafsi katika kusaidia kutekeleza mpango mkakati wa Lishe Nchini wakati wa mkutano mkuu wa nane wa wadau wa Lishe uliofanyika Musoma, Mkoani Mara leo tarehe 6 Disemba 2022