Tarehe 28 Aprili ,2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wameanza kutoa mafunzo maalum ya matumizi ya mbinu mpya ya MIMI (Modeling and Mapping Risk of Inadequate Micronutrient Intake) ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za kujenga uwezo wa kitaifa kwa wataalamu katika suala la uchambuzi wa takwimu zinazohusu athari za Viashiria vya upingufu wa Vitamini na Madini
Taasisi ya Chakula la Lishe Tanzania (TFNC), Wizara ya Afya Zanzibar, kwa kushirikiana na UNICEF na Iodine Global Network, Wanatarajia kuanza utafiti utakaoimarisha mfumo wa ufuatiliaji wa Taarifa na takwimu za matumizi ya chumvi yenye madini joto kwa wanawake wajawazito katika ngazi ya jamii Zanzibar.
Kamati ya Taifa ya Wataalam ya Usimamizi na Ushauri wa Masuala ya Lishe imekutana tarehe 16 Machi 2026 katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Jijini Dodoma, kujadili na kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za lishe nchini ikiwemo Mpango Jumuishi wa kitaifa wa masuala ya lishe pamoja na mikakati mingine ya kuboresha hali ya lishe nchini.
Tarehe 28 Aprili ,2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wameanza kutoa mafunzo maalum ya matumizi ya mbinu mpya ya MIMI (Modeling and Mapping Risk of Inadequate Micronutrient Intake) ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za kujenga uwezo wa kitaifa kwa wataalamu katika suala la uchambuzi wa takwimu zinazohusu athari za Viashiria vya upingufu wa Vitamini na Madini