Tarehe 3 Februari 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Nutrition International Makao makuu Geneva Uswiss ili kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuimarisha mikakati ya ushirikiano katika eneo la usimamizi masuala ya lishe nchini.
PANITA, in collaboration with TFNC, convened a two-day advocacy meeting which started on Tuesday, 28 January, in Dodoma to promote improved funding coordination and partner alignment for the effective implementation of the MMS roadmap in Tanzania.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya tathimini ya lishe, unasihi na huduma za lishe kwa Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na TB wakifanya jaribio la awali kwa ajili ya kupima uelewa wao kabla ya kuanza mafunzo hayo. Mafunzo haya yanatolewa kwa siku nne (25 - 28, Novemba, 2025) na TFNC kwa watoa huduma za afya, maafisa usawi na maaendelo ya jamii ili kuwaongezea ufanisi katika majukumu yao ya kila siku.
Tarehe 3 Februari 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Nutrition International Makao makuu Geneva Uswiss ili kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuimarisha mikakati ya ushirikiano katika eneo la usimamizi masuala ya lishe nchini.