Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof.Abel Makubi akikata utepe kwa ajili ya kukabidhi mashine za kuchanganyia chumvi na madini joto kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe kwa ajili ya kuwakabidhi Makatibu Tawala wa mikoa ya Pwani, Mtwara na Tanga ili kusaidia kuongeza uzalishaji wa chumvi wenye kiwango cha kutosha cha madini joto.Kutoka Dodoma, tarehe 24.02.2022