Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. George Simbachawene akiongoza kikao kazi kilichohusisha Watendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kuhusu Masuala ya Lishe nchini katika Ukumbi wa Ofisi hiyo Juni 08, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.