Mkurugenzi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt.Germana Leyna, akibainisha namna Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa kushirikiana na Wadau wengine, namna walivyoshiriki kusimamia na kutekeleza mradi wa kuboresha lishe ya wanawake wajawazito (IMAN) uliotekelezwa mkoani Mbeya, wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha wajumbe wa kamati ya ushauri wa kitaalamu ya kusimamia utekelezaji wa mradi huo kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 13,2024