Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akionyesha Mkakati wa Kitaifa kwa Sekta Binafsi katika kusaidia kutekeleza mpango mkakati wa Lishe Nchini mara baada ya kuuzindua leo tarehe 06 Disemba 2022 Musoma mkoani Mara