08 Sep, 2025
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imeibuka mshindi wa Banda lenye Ubunifu katika Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani ambayo kwa hapa nchini yamefanyika mkoani Kilimanjaro na kufikia kilele chake Oktoba 17,2021
