Elimu ya lishe yatolewa kwa wanafunzi wa chuo cha IFM
10 Sep, 2025
Elimu ya lishe yatolewa kwa wanafunzi wa chuo cha IFM
Mei 15, 2025, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Engender Health Tanzania na kujadili masuala mbalimbali ya utekelezaji wa shughuli za lishe ikiwemo kwenye eneo la Utafiti. Ugeni huo uliongozwa na Mwakilishi wa Engender Health Tanzania nchini Tanzania, Dkt.Moke Magoma ambaye aliongozana na maafisa wengine kutoka Shirika hilo.