Habari

news image

Umuhimu wa Mwezi wa Afya na Lishe ya Mtoto

Imewekwa: 9th Dec, 2020

​Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imetoa mafunzo kwa wanahabari kutoka Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Dar es salaam, Kuhusu Umuhimu wa Mwezi wa Afya na Lishe ya Mtoto, ambao unahusisha huduma za utoaji wa matone ya Vitamini A...Soma zaidi

news image

Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani 2020

Imewekwa: 29th Nov, 2020

​Katika kuelekea siku ya UKIMWI Duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Disemba Mosi ya kila mwaka, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imeendelea kutoa elimu ya Lishe...Soma zaidi

news image

Tanzania kuanza kuzalisha vyakula vya nyongeza kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5.

Imewekwa: 28th Aug, 2020

Tanzania iko mbioni kuachana na kuagiza vyakula vya nyogeza kwa Watoto kutoka nje ya nchi na matokeo yake vitaanza kuzalishwa hapa hapa nchini, mara baada ya Taasisi ya Chakula...Soma zaidi

news image

Wanafunzi wanywe maziwa shuleni-Ummy Mwalimu

Imewekwa: 13th Aug, 2020

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema atamwandikia barua Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako kutoa pendekezo kuanzia Septemba Mosi Mwaka huu, Kila shule ya Msingi na Sekondari iwe na kibanda cha maziwa ...Soma zaidi