Habari

TFNC yatoa mafunzo ya usindikaji Unga kwa watoto wenye umri wa miezi 6 - 24
Imewekwa: 30th Jun, 2023Mkurugenzi Idara ya Sayansi ya Chakula na Lishe, Dkt. Analice Kamala akitoa mafunzo kwa vitendo kuhusu athari za...Soma zaidi

Wafadhili wa shughuli za lishe nchini wafanya ziara kwenye maabara ya chakula na lishe ya TFNC
Imewekwa: 26th Jun, 2023Wafadhili wa shughuli za lishe nchini wamefanya ziara ya kikazi katika Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania...Soma zaidi

Wazalishaji chumvi wadogo wasimamiwe kuzalisha chumvi iliyoongezwa madini joto
Imewekwa: 19th Jun, 2023Naibu katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe ameitaka kamati ya Taifa ya Kudhibiti Upungufu wa Madini joto nchini, kuhakikisha inasimamia na kufuatilia wazalishaji chumvi wadogo nchini kuhakikisha chumvi wanayozalisha nchini...Soma zaidi

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya atembelea Maabara ya kupima viini lishe ya TFNC
Imewekwa: 19th Jun, 2023Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amefanya ziara ya kikazi katika Maabara ya kupima Virutubishi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania na kuridhishwa na utendaji kazi wa maaabara hiyo...Soma zaidi